![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/07/03/1 (1).jpg?itok=7X9hp_OU×tamp=1720023107)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan (Katikati) na mgeni wake Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi (wa pili kulia) wakimsikiliza Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Bw Arafat Haji (kushoto) akifafanua kuhusu huduma mbalimbali za benki hiyo sambamba na mkakati wake wa kujitanua zaidi hapa nchini mbele ya viongozi hao wawili walipotembelea banda la benki hiyo lililopo kwenye viwanja vya Maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya SabaSaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam leo.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/07/03/waziri weeeb.jpg?itok=V8ycqhjf×tamp=1720008834)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Wolfgang Pisa
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Manyara George Katabazi
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/07/02/GARIII.jpg?itok=6WQXRgHB×tamp=1719929648)
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya SACP Benjamin Kuzaga
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Raymond Mndolwa
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/07/01/kusukaa.jpg?itok=jYjtkPAS×tamp=1719836149)
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Kenan Kihongosi, akizungumza na wananchi
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/06/28/MAKAMBA WEEB.jpg?itok=jDe2xXZJ×tamp=1719586800)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Julius Mtatiro
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/06/27/BUKOMBE WEEEB.jpg?itok=6bUMI0Fb×tamp=1719512749)
Mkuu wa wilaya ya Bukombe Paskasi Muragili
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/06/27/4 (2).jpg?itok=adlDaYPW×tamp=1719495727)
Baadhi ya wawakilishi wa wanafunzi na uongozi wa vyuo kutoka vyuo vikuu mbalimbali ikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Chuo cha Takwimu, Chuo cha Ardhi na Chuo cha Maji na wananchi wa eneo la Changanyikeni, Wilaya ya Kinondoni wakati wa hafla hiyo wakifuatilia uzinduzi wa mpango wa punguzo la bei ya nishati ya gesi kwa wanafunzi wa vyuo vikuu jijini Dar es Salaam wa Kampuni ya kuuza nishati ya gesi ya kupikia majumbani ya Taifa Gas Limited maalum ikiwa ni muendelezo wa jitihada za kampuni hiyo kufanikisha adhma ya serikali inayolenga kuhakikisha asilimia 80 ya wananchi wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo 2034.