
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Konde, Yasin Jabu Hamisi (kushoto) akimkabidhi hati ya ushindi Sheha Mpemba Faki, aliyeshinda Ubunge wa jimbo hilo

Kikosi cha Simba kikisheherekea Ubingwa wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa mwaka 2020-2021.

Wachezaji wa Simba wakishangilia ubingwa walioutwaa msimu wa 2020/21

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula

Al Ahly wakishangilia ubingwa

Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango

Mbunge wa Jimbo la Buchosa Eric Shigongo

Kipa wa magolikipa wa kikosi cha Yanga, Mkenya Razak Siwa (wa kwanza kushoto) akiwa na Said Ntibazonkiza na Metacha Mnata baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Dodoma wakitokea Jijini Dar es Salaam.