
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akiwa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Viwango TBS Dkt Athumani Ngenya

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Dkt Maduhu Kazi

Gari likiwa na shehena ya Mahindi.

Muonekano wa Kituo cha Mabasi Mbagala jijini Dar es Salaam.

Moremi Marwa - Afisa Mtendaji Mkuu wa DSE

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo.

Kushoto ni Kaimu Afisa Madini Mkoa wa Simiyu, Mhandisi Joseph Kumburu, Kulia ni madini ya dhahabu (Picha kutoka mtandaoni)

Muonekano wa Jengo la Ofisi za Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC).

Katibu Mkuu, Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya, Prof. Abel Makubi wakati akizungumza na wazabuni wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi vya maabara nchini.

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo.

Mtaalamu wa masuala kidigitali (Digital Specialist) Bi Lilian Flavian (Katikati) akipokea zawadi ya kinywaji cha Konyagi yenye muonekano wa nembo ya mwanamke badala ya nembo iliyoezoeleka ya mwanaume shupavu ikiwa ni ishara ya kutambua weledi, ujasiri na taaluma za Wanawake walio na mchango chanya kwenye jamii. Chupa hizo maalum zina nembo yenye mwanamke aliyenyanyua mikono juu na ujumbe wa kuwatakia waTanzania heri ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka. Wanaomkabidhi zawadi ni wawakilishi kutoka kampuni ya Tanzania Distilleries Limited watengenezaji wa kinywaji hicho.

Baadhi ya wakazi wa Mbezi Juu waliopata mafunzo ya lishe kutoka Meridian Bet

Meridian Bet wakikabidhi kiasi cha shilingi milioni moja kwa Nadia Faustine, mama wa mtoto mwenye kansa ya macho