
Jumapili , 29th Jun , 2025
Wananchi, Young Africans Sc wametwaa kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) kwa mara ya nne mfululizo kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar kwenye fainali.

Wananchi, Young Africans Sc wametwaa kombe la Shirikisho la CRDB (FA Cup) kwa mara ya nne mfululizo kufuatia ushindi wa 2-0 dhidi ya Singida Black Stars katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar kwenye fainali.