Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Ummy atoa hamasa kwa wanawake wajasiriamali

Alhamisi , 27th Aug , 2020

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu amewataka wakurugenzi wa Halmashauri kutoa mikopo mikubwa kwa wanawake wajasiriamali ili kuweza kutimiza ndoto zao hasa katika shughuli za uzalishaji Mali.

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu

Amesema kuwa hivi Sasa wanawake wamejitokeza kwa wingi akieleza kuwasilisha wazo kwa Waziri wa Fedha na mipango kuondoa  ama kushusha riba katika Taasisi za Fedha ili kuwainua wajasiriamali katika  Shughuli zao kibiashara.

Waziri Ummy ameyasema hayo leo August 27  katika mkutano uliowakutanisha wanawake wa Jumuiya ya Africa mashariki kwa kushirikiana Wizara ya Afya  na Jukwaa la wafanyabiashara wanawake (TWCC) ambapo amezindua Jukwaa la wanawake milioni 50 wafanyabishara wa kiafrica.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama Hicho Jacqueline Maleko ameiomba serikali kuweka Sera ambazo zitasaidia kuwawezesha wanawake kujikwamua kiuchumi ikwemo kuweka  mikopo yenye riba nafuu ili waweze kukuza mitaji yao.

Zaidi ya nchi 38 za Africa Kati ya 54 zimetajwa kuingia katika Umoja huu Ambapo wafanyabiashara wanawake wameaswa kulitumia soko Hilo la mtandao wa wanawake barani Africa uliozinduliwa hii leo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava