Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wawekezaji wa ndani wasifu sera ya Serikali 

Jumatatu , 27th Jun , 2022

Baadhi ya wawekezaji wazawa  nchini wamesema sera ya Serikali katika kudhibiti maradhi ya milipuko iliyowekwa katika uchumi  imesaidia kuimarisha  uwekezaji hivyo kuwataka wazawa kujitokeza zaidi kuwekeza kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo miradi ya kisekta.

Hayo yamejiri wakati kituo kilichopewa hadhi ya kusimamia uwekezaji kikisimamia kauli mbiu  mbalimbali ikiwemo nafasi ya Mapinduzi ya nne ya Viwanda katika masuala mapya yanayojitokeza kuhusu utoaji wa huduma na urejeshaji wakati na baada ya Janga la Corona hali iliyofanya uwekezaji kuzidi kuimarika.

Akitoa taarifa ya hali ilivyo Kaimu Mkurugenzi Huduma kwa Wawekezaji Bi. Anna Lyimo akimuwakilisha Kaimu Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) amewakaribisha wananchi na wawekezaji kutembelea ofisi hizo ili kupata elimu juu ya fursa mbalimbali za uwekezaji pamoja na tafiti mbalimbali zinazoibua fursa za Uwekezaji nchini.

Takribani wageni zaidi ya 50 wameweza kupata elimu juu ya fursa za uwekezaji na namna mbalimbali za huduma zinazotolewa na Kituo cha Uwekezaji hasa kupitia Kituo cha Mahala Pamoja ( One Stop Facilitation Centre).kwa wiki pekee ya utumishi.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava