Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wananchi wahimizwa uzalishaji malighafi za viwanda

Jumatano , 14th Dec , 2022

Naibu Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji imewataka watanzania kuchangamkia fursa za uzalishaji wa malighafi ili kukidhi mahitaji ya viwanda vinavyojengwa nchini.

Naibu Waziri wa Viwanda, Exaud Kigahe akitembelea mabanda katika maonesho ya vifaa tiba jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Uwekezaji Exaud Kigahe, wakati akitembelea mabanda mbalimbali katika maonesho ya vifaa tiba jijini Dar es Salaam, amebainisha kuwa kwa sasa serikali imejikita katika kuweka mazingira bora kwa wawekezaji kutoka sekta binafsi.

Aidha Naibu Waziri Kigahe amewahakikishia wakezaji kwenye vifaa tiba, masoko ya vifaa watakavyovizalisha ikiwa pamoja na soko la uhakika kutoka serikalini.

Kwa upande wao Mamlaka ya uwekezaji wa maeneo maalum EPZA wamebainisha kuwa maonesho haya yatasaidia katika kuongeza idadi ya wawezaji nchini, huku baadhi ya wawekezaji hao wakikiri kuridhishwa na mazingira ya uwekezaji nchini.

Maonesho hayo yameanza leo, na yanatarajiwa kusiha Disemba 16, 2022 katika ukumbi wa Diamond Jubilee.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava