Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanahisa wa Vodacom PLC kupata gawio la tsh 178.57

Jumatatu , 21st Sep , 2020

Kampuni ya mawasiliano ya simu za mikononi inayoongoza Tanzania, Vodacom Tanzania PLC imetangaza pendekezo la kutoa gawio la maalumu la shilingi 178.57 kwa wanahisa wake ikiwa ni baada ya muda mrefu kutoa gawio hilo.

 

Akizungumzia kutolewa kwa gawio hilo Afisa mtendaji wa DSE Moremi Marwa amesema kuwa huo ni muendelezo wa makampuni yaliyowekeza ikiwa na lengo la kuwapa motisha wawekezaji wake na kuwa hiyo imetolewa baada ya makubaliano na hivyo kuletaq athari chanya katika bei za hisa zake katika soko.

"Kampuni hiyo ikiwa ni miongoni mwa kampuni nyingi zilizoorodheshwa katika soko wanalazimika kufanya hivyo kwa wateja wake mara moja au mara mbili kwa mwaka kulingana na mafanikio yao katika biashara pendekezo lao litajadiliwa mwezi Oktoba kisha kutoa gawio kwa wanahisa wake" alisema

Amesema licha ya kuwepo kwa idadi ndogo ya wawekezaji wa nje katika wiki iliyoishia Septemba 18 uwekezaji uliongezeka hadi kufikia bilioni 45 ikilinganishwa na bilioni 13.3 katika wiki iliyoishia Septemba 11.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava