Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi 489 wahitimu chuo cha kodi.

Ijumaa , 25th Nov , 2022

Mamlaka ya mapato nchini Tanzania TRA kupitia chuo chake cha kodi imewataka wahitimu waliomaliza kozi mbalimbali za kikodi katika Mahafali ya 15 kwenda kuzingatia elimu ya Kodi ili kupunguza uhitaji wa watalaam uliopo serikalini na sekta binafsi.

Mkuu wa Chuo cha kodi Prof Isaya Gairo

Rai hiyo imetolewa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Laurence Mafuru ambaye amewataka watalaam Hao kuwa chachu katika kuongeza pato la serikali kwa weledi kwenye utendaji wao.

'Kupitia mafunzo haya nendeni mkawe chachu katika kushauri kutenda na kuikataa rushwa mkaifanye azma ya serikali kwenye utendaji wake kufikia kirahisi mapinduzi ya viwanda kafanyeni kazi kwa weledi mkitanguliza maadilim ya kikodi'Amesema Mafuru

Pamoja na hilo amewataka pia kuhakikisha wanawekeza katika maadili yenye kuikataa rushwa ili kuhakikisha azma ya serikali kwenye mapinduzi ya viwanda inafikiwa pakiwa na wataalamu wa kikodi

Katika mahafali hayo mkuu wa chuo cha kodi prof Isaya Gairo amesema wahitimu ni 489 wa kike wakiwa 198 wanaume 291 akidai kuwa wahitimu hayo wanaweza kuongeza kasi kwenye ukusanyaji wa mapato ya ndani serikalini ama kupitia sekta binafsi.

Kwa pande wao wahitimu waliofanya vizuri kwa ufaulu wa juu katika masomo wamesema siarir ya ushindi nim kujituma kupenda unachokifanya wakiahidi kwenda kufanyia kazi ushauri na utalaamu waliopatiwa.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava