Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wajasiriamali zaidi ya 400 wawezeshwa kibiashara

Jumatatu , 29th Mei , 2023

Zaidi ya mama lishe, vijana na baba lishe 450 wamepatiwa vifaa vya kufanyia kazi zao ikiwemo mitungi ya gesi,kabati maalum ya kuhifadhia chakula,pamoja na sare za kufanyia kazi ikiwa ni uwezeshwaji awamu ya tatu kupitia kapeni ya chipsika kiajira na coke

Baadhi ya wajasiriamali kati ya hao 450 walionufaika wamesema familia nyingi zinaingia katika mazingir magumu ya kiuchumi kutokana na wengi kukwama kupata mitaji ya kuanza biashara zao hivyo kuishukuru kamopuni hiyo kwa uwezeshaji huo.

Kwa upande wake meneja masoko kutoka kampuni hiyo amesema hiyo ni awamu ya tatu ambapo tayari huko nyuma wamewezesha mitaji vijana zaidi ya mia 600 lengo ikiwa kufungua fursa za kiuchumi kwa kila mjasiriamali kupitia kampeni hiyo ya chipska na coke.

Akimwakilisha mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila mkuu wa wilaya ya kinondoni amewataka wadau wengine kuiga mfano huku akibainisha kwa kinondoni manispaa iko miradi mingi ambayo wadau wanaweza kujitokeza kushirikiana na serikali akiwataka watanzania waliopata uwezeshaji huo kuinuka kiuchumi.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava