Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukuaji wa sekta ya gesi asilia umeleta haya

Ijumaa , 2nd Oct , 2020

Ukuaji wa Sekta ya Gesi asilia na usambazaji maeneo ya mjini umeleta changamoto hasa ya usalama wa miundombinu ya gesi asilia na ile inayotumiwa na taasisi zingine katika kufanikisha huduma mbalimbali kwa wateja ambao wapo kwenye mikuza mbalimbali nchini hususani Jijini Dar es Salaam.

Picha ya Bomba la gesi

Akizungumza katika warsha ya utiaji saini mkataba wa maridhiano ya usimamizi wa pamoja wa miundombinu iliyoko chini ya ardhi kwenye mikuza (Wayleave), Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Zena amesema kuwa ni jukumu la serikali kutunga sera na kutoa miongozo inayofaa katika kusimamia rasilimali ya gesi asilia.

"Ni kazi ya Wizara ya Nishati katika sekta ndogo ya gesi asilia ni pamoja na kutunga sera na kutoa miongozo inayofaa katika kusimamia rasilimali ya gesi asilia", amesema Zena 

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Mhandisi Godfrey Chibulunje, amesema kuwa maridhiano hayo yatasaidia kuja na mbinu bora za kulinda usalama wa wananchi walio jirani na mikuza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava