Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Soko la Bima bado liko chini-Dkt Sakware

Jumatatu , 21st Nov , 2022

Kufuatia serikali kupitisha azma ya kuwepo kwa bima ya afya kwa kila mwananchi nchi nzima tayari sasa serikali imewataka wadau kuanzisha mafunzo kwa watoa huduma hiyo ili kuhakikisha kila mtu kwenye kila kijiji anafikiwa na huduma hiyo.

Kamishina wa Bima nchini Tanzania Dkt Bagayo Sakware

Rai hiyo imetolewa na kamishina wa bima nchini Tanzania dkt Bagayo Sakware ambaye amethibitisha kuwa soko la bima nchini bado lina uhitaji mkubwa wa wadau ambapo mara baada ya serikali kupitisha sheria za bima ya afya kwa wote uhitaji umeongezeka hivyom kuweka utaratibu sasa wa kupitia watoa huduma kuwafikia watanzania walioko vijijini

Utekelezaji wa agizo hilo umeanza ambapo kampuni ya bima ya Jubilee Alliance Insurance wameanza mchakato wa kuwaanda mawakala wa bima ambao watasambaa kila kijiji kufanya huduma hiyo wakibainisha kuwa hadi sasa ni asilimia sita tuu ya watanzxania wenye ufahamu wa bima.

Hata hivyo sekta hiyo wadau wametakiwa kuwa na maadili na kwa wale wote watakaopatiwa mafunzo watasajiliwa kama maafisa wa bima nchini wakiwa na sifa sasa ya kuwahudumia watanzania popote.

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava