Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Prof. Kitila atoa maelekezo BRELA

Jumatano , 21st Apr , 2021

Serikali imewataka watumishi kutoka Wakala wa usajili na utoaji leseni  za biashara BRELA kuongeza kasi, kuboresha mahusiano kwa wafanyabiashara sambamba na kuweka taarifa zote sahihi endapo mtu anahitaji kufungua kampuni ama kuanzisha biashara.

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo.

Kauli hiyo imetolewa hii leo na Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo wakati alipotembelea BRELA na kuzungumza na watumishi akitoa maelekezo kuwa Kazi ya serikali ni kuwezesha  mazingira ya wawekezaji kuwekeza hivyo kuomba watumishi kutokuwa kikwazo.

Sambamba na hilo ametamani kuona watumishi waliopewa dhamana katika sekta ya biashara kuhakikisha zinatafuta masoko ya kimataifa kwa ajili ya wafanyabiashara wa ndani kuwa Dunia ya leo imejaa ushindani hivyo kuitaka pia sekta binafsi kujipanga kiushindani.

"Kazi ya serikali ni kuweka mazingira ili sekta binafsi ifanye kazi niwaombe watumishi wote kufanya kazi usiku na mchana huku wakikaa kibiashara zaidi", amesema Prof. Kitila.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa BRELA amesema kwa sasa mifumo yote iko vyema katika usajili wa makampuni kupitia mtandao.

"Kwa sasa system zetu ziko imara tofauti na huko nyuma zilikuwa na mafua mafua kidogo"Godfrey Nyaisa-Mkurugenzi mtendaji BRELA.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava