Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ofisi ya Taifa ya Takwimu yatangaza kushuka bei

Alhamisi , 8th Oct , 2020

Ofisi ya Taifa ya Takwimu, (NBS), imesema mfumuko wa bei wa taifa kwa mwaka unaoishia mwezi Septemba 2020 umepungua na kufikia asilimia 3.1 kutoka asilimia 3.3 kwa mwaka ulioishia mwezi Agosti 2020.

Kaimu Mkurungezi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ruth Minja.

Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es Salaam na  Kaimu Mkurungezi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ruth Minja, ambapo amesema kupungua kwa mfumuko wa bei kwa mwaka unaoshia Septemba kumechagiwa na kupungua kwa bei ya baadhi ya bidhaa za vyakula na bidhaa zisizo za vyakula kwa kipindi kinachoishia mwezi Septemba 2020.

Mfumuko wa Bei kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba, 2020 umepungua kutokana na kupungua bei za bidhaa za vyakula na visivyokuwa vyakula”, amesema Minja.

Akizungumzia hali ya mfumuko wa bei kwa nchi za Afrika Mashariki kwa mwaka ulioishia mwezi Septemba 2020 amesema kwa nchi ya Kenya umepungua hadi asilimia 4.20 kutoka asilimia 4.36 kwa mwaka ulioishia mwezi Agosti 2020 na kwa nchi ya Uganda amesema mfumuko wa bei umepungua hadi kufikia asilimia 4.5 kutoka asilimia 4.6 kwa mwaka ulioishia mwezi Agosti 2020.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava