Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mvua Dar, mbogamboga zimesombwa na maji

Jumatano , 14th Oct , 2020

Baada ya mvua kubwa kunyesha jana Jijini Dar es Salaam, imepelekea mboga za majani kuadimika sokoni leo hali iliyopelekea fungu moja la matembele kuuzwa kati ya mia tisa hadi elfu moja na mia mbili, huku mchicha na maboga ukiuzwa shilingi 500.

Mboga za majani zikiwa Sokoni.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao wamesema kuwa kutokana na mabonde kujaa maji mboga zimeadimika leo Jijini Dar es Salaam na kwa siku ya kesho wanategemea mboga kutoka mikoa ya Morogoro na maeneo jirani.

Aidha, wafanyabisahara hao wamesema kuwa, kutokana na kukosekana huko kwa mbogamboga kumepelekea malalamiko kwa wateja kwa kuwa bei zimepanda ghafla.

"Mvua ya jana imeleta maafa mpaka kwa wafanyabiashara wa mboga za majani, mboga nyingi zinalimwa sehemu zenye mabonde hivyo zimebebwa na maji na kwa wiki hii mboga tutategemea kutoka Morogoro na maeneo jirani", amesema mmoja kati ya wafanyabiashara hao Sophia Robert.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava