Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mizani kukaguliwa kabla ya ununuzi wa mazao

Ijumaa , 27th Mei , 2022

Baadhi ya wakulima wa Kahawa na mazao mengine ya Biashara ikiwemo Pamba, Korosho na Kahawa wamesema zoezi la ukaguzi wa mizani  linalondeshwa na wataalam kutoka wakala wa vipimo nchini limelenga kuleta usawa kati ya muuzaji na mnunuzi.

Rai hiyo imetolewa na wakulima hao wa kahawa ambao wanakwenda kuanza rasmi msimu wa kahawa Juni mosi ,2022 wakieleza wamekuwa wakipoteza hadi kilo 300 kwa tani moja kutokana na wanunuzi kutumia mizani iliyochezewa.

Kwa mkoa wa Kagera takribani. zaidi ya mizani 300 ya wanunuzi wa kahawa inategemea kuhakikiwa kabla na kwamba ni jukumu la wakala  kufanya ukaguzi kabla ya msimu kuanza ili kuridhisha pande zote katika biashara.

Kwa mujibu wa Mtendaji Mkuu wa wakala wa vipimo nchini WMA Stella Kahwa amesema Lengo ni kuifikia mikoa yote inayokwenda katika msimu wa kuuza mazao ikiwemo Kagera, Shinyanga, Mtwara ili kuhakikisha mazingira ya kiuwekezaji yanafikiwa.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava