Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbegu za pamba zanusurika kuungua Shinyanga

Jumanne , 22nd Nov , 2022

Tani 210 za mbegu za pamba katika kiwanda cha Jielong kinachomilikiwa na raia wa china mjini Shinyanga kimenusurika kuteketea kwa moto baada ya ghala la kuhifadhia mbegu kuanza kuwaka moto upande wa mashudu na kuunguza sehemu kubwa ya ghala hilo

Katika tukio hilo wafanyakazi wanne waliokuwa wakifanya kazi ndani ya ghala hilo wamejeruhiwa na moto na kukimbizwa hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya matibabu

Msemaji wa kiwanda cha Jielong Qir Fengzhou amesema moto huo ulianza kuwaka kidogo majira ya saa 11 jioni jana na wakaanza kuuzima lakini ghafula ulilipuka na kuwa mkubwa na kuomba msaada Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa Shinyanga ambao walifika mapema kwa kushirikiana na magari mengine ya makampuni na kuanza kuzima moto huo kabla ya kusababisha madhara makubwa upande wa mbegu.

Mrakibu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa Shinyanga  Ramadhan Kano akiwa eneo la tukio,amesema wamefanya jitihada kubwa kuzima moto huo kutokana na kuwa mkubwa na kufanikiwa kuudhibiti kabla ya kusababisha madhara makubwa upande wa mbegu.

HABARI ZAIDI

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala