Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mavunde ataka wakulima kupewa elimu

Alhamisi , 14th Jul , 2022

Naibu Waziri wa Kilimo  Anthony Mavunde ameitaka Taasisi ya Utafiti Kilimo (TARI) na wadau wengine wa kilimo kutoa elimu ya matumizi sahihi ya mbolea ili kumsaidia mkulima wa Tanzania kulima kwa tija

Naibu Waziri wa Kilimo  Anthony Mavunde

Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo leo Hombolo-Jijini Dooma wakati akitembelea mashamba ya mtama yanayofanyiwa majaribio kwa mbolea kutoka kiwanda cha ITRACOM FERTILIZERS kinachojengwa Nala,Dodoma.

“Mh Waziri Bashe alitoa maelekezo kwamba wataalamu wa TARI na TFRA mkae pamoja na kiwanda ili kufanya majaribio ya mbolea hii kutokana na ikolojia ya nchi yetu ili mbolea itakayozalishwa iweze kukidhi mahitaji ya udongo wa mbalimbali ya nchi.

Leo nimekuja hapa kushiriki zoezi hili la kutembelea mashamba ya mtama ya majaribio kujionea jinsi mbolea hii inavyofanya kazi katika zao la mtama.

Wadau wa kilimo mna wajibu wa kuielimisha jamii juu yaa matumizi sahihi ya mbolea kwa lengo la kuinua kilimo na kuongeza uzalishaji wa mazao yetu.

Katika kuchochea matumizi ya mbolea,serikali itatenga Tsh 150bn kama ruzuku ili kumpunguzia mzigo wa bei mkulima,sambamba na kuchochea ujenzi na uanzishwaji wa viwanda vya mbolea nchini”_Alisema Mavunde

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava