Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Maonesho ya wafanyabiashara mkoa wa Mara

Jumatano , 20th Jul , 2022

Zaidi ya makampuni 500 kutoka ndani na nje ya nchi yanatarajiwa kushiriki  katika maonyesho ya kimataifa ya biashara ya Mara International Business Expo yatakayofanyika mkoani Mara mwezi Septemba mwaka huu huku wafanya biashara zaidi ya 5000 wakitegemewa kushiriki maonyesho hayo

Mwenyekiti wa Chemba ya wafanyabiashara (TCCIA) Boniphace Ndengo

Akiongea na waandishi wa wahabri Mwenyekiti wa Chemba ya wafanyabiashara (TCCIA) Boniphace Ndengo amesema mkoa wa mara unafursa nyingi ambazo hazijafunguka hivyo kwa kuwepo kwa maonyesho haya mkoa wa mara utafunguka kibiashara na kiuchumi.

“Mkoa wetu una fursa nyingi ambazo hazijafunguka kwani Mkoa unafursa ya utalii, madini pamoja na fukwe nzuri za ziwa Victoria ambazo hazijulikani hivyo sisi kama chemba ya wafanyabiashara tumeliona hili na kuamua kuanziasha maonyesho haya ambayo yatakutanisha watu kutoka mataifa mbalimbali kutoka katika pembe zote za duania” amesema Ndengo Mmwenyekiti TCCIA.

Maonyesho ya kimataifa ya wafanyabiashara yanatarajiwa kuanza September 2 - 11 mkoani hapa katika uwanja wa kumbukumbu ya Karume ambapo katika maonyesho hayo yatajumuisha sekta zote za Madini, Kilimo, Uvuvi Viwanda pamoja na wajasiliamali wa Nyanja zote huku wafanayabiashara kutoka nje wakitegemewa kuonyesha bidhaa zao .

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava