Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gharama za maisha zatatiza Masoko ya Hisa

Jumatatu , 9th Mei , 2022

Taarifa kutoka soko la hisa la Dar es salaam imeonyesha kushuka bei hisa zake sokoni kutokana na myumbo uliopo kwenye kupanda kwa bei za bidhaa hali inayosababisha wawekezaji kuchukua tahadhari katika kufanya uwekezaji.

Mtendaji Mkuu wa soko la hisa Moremi Marwa

Mtendaji Mkuu wa soko hilo Moremi Marwa amesema kwa wiki hii kumekuwepo na  punguzo la ukuaji wa mtaji sokoni la bilioni 12 kutoka trillion 10.2 tarehe 29 April hadi kufikia trillion 10.19 mnamo tarehe 6 Mei 2022..

Aidha Katika upande wa Hatifungani zilizoorodheshwa sokoni zimebakia katika kiwango cha trillion 15.71 huku hati fungani za muda mrefu hususani za miaka kumi na mitano za serikali zikiendelea kuaminiwa zaidi na wawekezaji.

Kuhusu mchanganuo wa uwekezaji asilimia 25 ya Uwekezaji kwa upande wa manunuzi ulichangiwa na wawekezaji wa ndani wa nje wakichangia asilimia 75 katika upande huo,ambapo 28 asilimia ya Mauzo ikichangwa na wawekezaji wa ndani na asilimia 72 kutoka nje hivyo kufanya soko kutawaliwa na wawekezaji kutoka nje kwenye Mauzo na manunuzi.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava