Picha ya maktaba ya kikosi cha Azam FC kilichotwaa ubingwa msimu uliopita. Hii ilikuwa Jumapili ya Machi 30 mwaka huu dhidi ya Simba ambapo Azam walishinda 2-1
Mpanzua na viongozi wa Simba
Dully Sykes kwa niaba ya Afrikasongs.com akiwa jukwaani tayari kukabidhi tuzo ya wimbo bora wa mwaka