
Timu ya Flying Dribblers wenye jezi nyeusi kwenye mchezo wao wa game 2 dhidi ya Team Kiza (nyeupe).

Msanii Youngkiller akiwa kwenye mahojiano baada ya mechi ya Portland na Mchenga.

Mchezo kati ya Flying Dribblers (nyeusi) na Team Kiza (nyeupe).

Mechi kati ya Mchenga Bball Stars dhidi ya Portland.

Wachezaji wa Mchenga Bball Stars (kijani) na Portland (nyeupe kwenye nusu fainali game 1.

Mohamed Yusuf katikati akijadili jambo na wenzake wakati wa mchezo wao dhidi ya Portland.

Mechi kati ya Flying Dribblers dhidi ya Team Kiza

Kikosi cha Portland na aliyewekewa kiboma chekundu ndio Ally Atiki

Timu ya Mchenga Bball Stars

Flying Dribblers wenye jezi nyeupe kwenye mechi yao dhidi ya Team Kiza

Team Kiza wenye jezi nyeupe walipocheza na DMI waliovaa nyeusi kwenye mechi ya robo fainali.

Mchezaji, Jovin Charles, akiwa peke yake na katika kikosi cha Dream Chaser.

Timu za Mchenga Bball Stars na St. Joseph kwenye mechi yao ya robo fainali.

Manahodha wa timu 4 zilizopo hatua ya nusu fainali.