
Moja ya michezo ya robo fainali ya Sprite Bball Kings

Timu za Temeke Heroes (jezi nyeupe) na Portland (kijani) kwenye mechi yao ya robo fainali.

Wachezaji wa Team kiza waliovaa jezi za blue kwenye mechi yao ya 16 bora dhidi ya Ukonga Warriors waliovaa nyeupe.

Timu ya Water Institute ambayo itacheza na Flying Dribblers kwenye robo fainali.

Kushoto ni Mkurugenzi wa Ufundi (BD) Goabert Msigati na kulia ni Alfred Makoye Kamishna wa waamuzi TBF, wakichezesha droo.

Baadhi ya wachezaji wa timu ya Mchenga Bball Kings na Oysterbay wakati wa mchezo wao leo.

Timu ya Mchenga Bball Stars ambnao ni mabingwa watetezi wa Sprite Bball Kings

Wachezaji wa DMI (Chuichui) kwenye mechi yao dhidi ya Fast Heat (Blue) mapema leo.