
Moja ya mechi za hatua ya mchujo zilizofanyika Jumamosi iliyopita.

Nahodha wa timu ya Portland Denis Babu.

Timu zilizoshiriki hatua ya mchujo ambapo Dream Chaser waliovalia jezi nyeusi wakipambana na Temeke Heroes (nyeupe)

Wachezaji wa timu ya TMT waliovaa jezi nyeusi wakati wa mchezo wao na Street Ballers wenye jezi za blue.

Timu za Weusi Basketball Club (nyeusi) wamepata pointi wakichuana na Kichangani (blue).

Waamuzi wa Mpira wa Kikapu ambao wameteuliwa kuchezesha Sprite Bball Kings wakiwa kwenye semina leo.

Wachezaji wa timu ya Dream Chaser (wenye jezi nyeupe) na mchezaji wa TMT (mweye jezi ya blue) kwenye moja ya mechi za Sprite Bball Kings 2017.

Baadhi wa wawakilishi wa timu zinazoshiriki Sprite Bball Kings

Waamuzi kutoka TBF Gozbert Boniface na Prosper Mushi wakiendesha droo ya mechi za mtoano.