Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2015 Bw.Juma Khatibu Chum akiongea na wananchi
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013