Kaimu mkurugenzi mkuu wa kituo cha sheria na haki za binadamu, mwanasheria Harold Sungusia (kushoto).
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.