Rais wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) Simon Mwakifamba,

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda.
Mwenyekiti wa Kijiji Naiyobi Meleji Sikoni

Elias Ngorisa, katibu wa fedha na uchumi wa CCM Wilaya ya Ngorongoro pamoja na madiwani kadhaa wamejiunga CHADEMA na kupokelewa na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimsabahi rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.

Mwenyekiti wa bodi ya mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro balozi Mwanaidi Maajar.

Waziri mkuu wa zamani Mh Edward Lowassa.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013