Msemaji wa manispaa ya Kinondoni, Sebastian Mhowera (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo hivi karibuni.

2 Jun . 2014

Baadhi ya mabasi yanayofanya safari zake kutoka kituo kikuu cha mabasi Ubungo na ambayo Sumatra imekuwa ikisisitiza kuwa yapulizwe dawa kuua mbu wanaosambaza homa hatari ya Dengue.

22 Mei . 2014