
kiungo wa mshambuliaji wa pembeni wa Mtibwa Shizza Ramadhani Kichuya.

Baadi ya wachezaji wakichuana katika moja ya michuano ya mpira wa wavu.
Baadhi ya wachezaji wakichuana katika moja ya mashindano ya vilabu.

Kocha Zinedine Zidane akiteta jambo na Ronaldo katika moja ya michezo ya timu yao.
Mshambuliji Mbwana Samatta akiwajibika katika mchezo dhidi ya Sporting Charleroi.

Jengo la ofisi za makao makuu ya shirikisho la soka nchini Tanzania TFF zilizoko maeneo ya Karume jijini Dar es Salaam.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta akitambulishwa na viongozi wa Genk hapo jana.
Kikosi cha Yanga ambacho kitaiwakilisha Tanzania katika michuano ya klabu bingwa barani Afrika mwakani.

Jengo la ofisi ya makao makuu ya shirikisho la soka nchini Tanzania TFF maeneo ya Karume jijini Dar es Salaam.