
Cristiano Ronaldo akiruka juu kuifungia Ureno goli la kwanza.
Mmoja wa Madaktari akimhudumia mwanariadha wa Jamaica wa Usain Bolt.

Mcheza tenisi Sam Querrey aishangilia baada ya kumchapa Novak Djokovic.

Riziki Salum kocha wa timu ya taifa ya tenisi ya walemavu ya Tanzania.
Mfungaji wa bao pekee la Ureno dhidi ya Croatia kiungo Ricardo Quaresma.

Mshambulaji hatari wa timu ya taifa ya Chile Eduard Vargas.

Lionel Messi akishangilia bao lake alilowafunga Venezuela hii leo.

Wachezaji Le Bron James na Stephen Curry kuamua bingwa wa NBA
Kikosi cha timu ya soka ya Yanga.
Baadhi ya wanafunzi wakijifunza mchezo wa mpira wa magongo

Baadhi ya wachezaji wa Kliketi wakichuana katika moja ya mechi za mchezo huo.
Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya ngumi wakifanya mazoezi.

Bondia Thomas Mashali akiwa na moja ya mikanda aliyotwaa.

Kocha Mkuu wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Marehemu Shaibu Amodu.

Kocha wa Yanga Hans van der Pluijm (kulia) na Msaidizi wake Juma Mwambusi wakiteta jambo.