Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL 2014-2015 Azam FC.

31 Jul . 2014

Kocha mkuu wa timu ya Yanga Mbrazil Marcio Maximo.

18 Jul . 2014

Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Marcio Maximo akiwa na mshambuliaji Jerson Tegete.

11 Jul . 2014

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania taifa stars kitakachowakabili Mambaz ya Msumbiji Julai 20 mwaka huu.

8 Jul . 2014

Kikosi cha Dar es salaam Yanga katika moja ya michezo ya ligi kuu Tanzania bara msimu uliopita.

20 Jun . 2014

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania taifa stars.

17 Jun . 2014

Mabondia Francis Miyeyusho na Mbwana Matumla wakitunishiana misuli katika moja ya mapambano yao.

9 Jun . 2014

Mwadini Ally wa Azam na Hussein Sharrif 'Casillas Munyama' wa Mtibwa Sugar. Hawa ni baadhi ya makipa wanaofanya mazoezi yao Kinondoni.

14 May . 2014
  •