
Kocha Mkwasa akiwa na makocha wenzake na baadhi ya wachezaji wa Stars jijini Nairobi.

Kikosi cha kwanza cha timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars.

Kikosi cha timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 cha Tanzania [Serengeti Boys].

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 Serengeti Boys.
Mshambuliaji hatari wa timu ya Simba Mganda Emmanuel Okwi akimpiga chenga beki wa Gor Mahia ya Kenya.

Kocha mkuu wa timu ya Yanga kushoto pichani Mbarazil Marcio Maximo.

Kikosi cha mabingwa wa ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL 2014-2015 Azam FC.
Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania taifa stars kinachotaraji kuingia kambini june 11 mwaka huu.