Mkurugenzi wa shirika la Under the Same Sun tawi la Tanzania, Bi. Vicky Ntetema, akiwa amekumbatiana na mmoja wa walemavu wa ngozi kuonyesha upendo alioano kwa jamii ya watu hao.
Tunu Pinda, mke wa Waziri mkuu wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye