Yanga yazidi kujipa Matumaini ya Ubingwa

Kikosi cha timu ya Yanga katika moja ya michezo yake kikiingia katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga wamesema bado hawajakata tamaa ya kutetea ubingwa wa ligi hiyo ambayo sasa inaongozwa na Azam Fc inayopewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS