ATME yataka wizara iruhusu MSD inunue dawa asili

Waziri wa afya na ustawi wa jamii Dkt Seif Rashid. Wizara yake imeombwa kuangalia uwezekano wa kuruhusu dawa asilia zitumike katika hospitali na zahanati za umma.

Chama cha Tiba asilia nchini Tanzania ATME, kimeiomba wizara ya afya na ustawi wa jamii, kuandaa utaratibu utakaoiwezesha bohari ya dawa MSD kununua dawa asili na kuzisambaza katika hospitali na Zahanati za Umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS