Chupa jipya la Dimpoz kukamilika mwezi huu
Staa wa muziki wa Bongoflava, Ommy Dimpoz amewaahidi mashabiki wake kuachia kazi mpya ambayo itakuwa gumzo la Jiji hivi karibuni ikiambatana na video ambayo amewekeza pesa nyingi kuifanya huko nchini Uingereza, kazi ambayo itakuwa tayari mwezi huu.