Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya usimamizi wa mifuko ya hifadhi ya jamii nchini Tanzania SSRA Bi. Irene Kisaka
Mamlaka ya mifuko ya hifadhi ya jamii nchini Tanzania, inakamilisha taratibu kwa ajili ya kuja na mfumo mmoja wa kukokotoa kiwango cha mafao kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii.