Picha ya eneo mbalo ndio kitovu kikuu cha shughuli za biashara na kiuchumi kisiwani Zanzibar.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC imeonywa kuacha mpango wake wa kutaka kupunguza majimbo ya uchaguzi visiwani humo badala yake wafikirie kuyaongeza au kuyaacha kama yalivyo.