Wizara yatangaza mikakati kwa waathirika wa UKIMWI

Waziri wa afya na ustawi wa jamii nchini Tanzania Dkt Seif Rashid.

Serikali ya Tanzania imesema imeweka mikakati mbalimbali ya kuwahudumia watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi ikiwa ni pamoja na kutoa huduma za tiba na matunzo pamoja na kuwaanzishia wagonjwa wapya dawa za kupunguza makali ya virus vya Ukimwi ARV.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS