Jaguar 'awatibua' mashabiki Nakuru?
Msanii wa muziki Jaguar kutoka nchini Kenya, alilazimika kuondolewa jukwaani katikati ya onesho mjini Nakuru hivi karibuni kutokana na mashabiki wa msanii huyu kuzua tafrani ambayo ilitishia kutokea kwa uharibifu wa mali wakati akitoa burudani.