Makocha Stars, Burundi watambiana
Kuelekea mchezo wa maadhimisho ya miaka 50 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar kati ya timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' na Intamba Mu Rugamba ya Burundi, makocha wa timu hizo wamejigamba kuonyesha kandanda safi.