Tanzania yapinga kuondolewa kwa spika EALA

Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki alhaji Adam Kimbisa (kulia) amesisitiza mpango wa Tanzania kutounga mkono azimio la kumuondoa spika Zziwa.

Wabunge saba wanaoiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki wamesema wanapinga mpango wa kuondolewa kwa spika wa bunge hilo Margaret Zziwa kutokana na hoja zilizotolewa dhidi yake kuwa kinyume na malengo ya Jumuiya hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS