Uchaguzi serikali za mitaa uko pale pale -Pinda
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema kuwa uchaguzi mkuu wa serikali za ufanyika mwishoni mwa mwaka huu huku jitihada zikifanywa na serikali kuwaomba umoja wa katiba ya wananchi -UKAWA kukubali kuridhia ombi la kurudi bungeni.

