MALAWI KUWASILI MEI 1 KUIVAA STARS

Kikosi cha timu ya Taifa ya Malawi "The Flames"

Timu ya Taifa ya Malawi (Flames) inatarajiwa kuwasili nchini Mei 1 mwaka huu kwa ajili ya mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Mei 4 mwaka huu kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS