Mkurugenzi mkuu wa kituo cha sheria na haki za binadamu (LHRC) Bi. Hellen Kijo-Bisimba.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania LHRC, kimesema mabaraza mengi ya usuluhishi wa migogoro ya ardhi yameshindwa kutatua migogoro hiyo kutokana na mabaraza hayo kutozijua sheria za ardhi.