Uongozi Simba wakabidhiwa ofisi na mali za klabu

Baadhi ya viongozi wapya wa klabu ya Simba ambao hii leo wamekabidhiwa rasmi ofisi na mali za klabu hiyo.

Hatimaye mara baada ya kupatikana kwa uongozi mpya wa klabu ya Simba chini ya Rais wake Evans Aveva kuingia madarakani hivi karibu hii leo wamekabidhiwa rasmi ofisi na mali za klabu hiyo na uongozi uliopita chini ya mh. Ismail Aden Rage

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS