Kocha mkuu wa klabu ya Yanga Marcio Maximo akiwa na mshambuliaji Jerson Tegete.
Viwango vinavyoonyeshwa na wachezaji chipukizi wa klabu ya soka ya Yanga waliopandishwa kutoka kikosi cha vijana chini ya miaka 20 cha klabu hiyo wameonesha kumkuna kocha mkuu wa klabu hiyo Marcio Maximo