Izzo Bizness: sichaji kolabo

Msanii wa bongo fleva Izzo Bizness

Baada ya kutoa wimbo wake mpya ambao umetambulishwa wiki hii uliobatizwa jina 'Walala Hoi' msanii Izzo Bizness aamua kuweka wazi kuhusiana na swala zima la kufanya kolabo na kushoot videos na wasanii nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS