Izzo Bizness: sichaji kolabo Msanii wa bongo fleva Izzo Bizness Baada ya kutoa wimbo wake mpya ambao umetambulishwa wiki hii uliobatizwa jina 'Walala Hoi' msanii Izzo Bizness aamua kuweka wazi kuhusiana na swala zima la kufanya kolabo na kushoot videos na wasanii nchini. Read more about Izzo Bizness: sichaji kolabo