Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya kamishina msaidizi mwandamizi wa polisi Justus Kamugisha
Jeshi la Polisi kanda maalum ya Tarime na Rorya, linawashikilia askari wake watatu kwa tuhumu za mauaji ya kijana mmoja waliyemkamata kwa kosa la kuvuta bangi na kucheza kamali.