AY ajivunia nyota ya Damian

wasanii wa miondoko ya bongofleva AY na mwanamuziki Damian Soul

Star wa muziki AY, akiwa na ukaribu mkubwa na msanii wa muziki Damian Soul kwa sasa kama kocha wa gemu ya star huyo anayepanda chati kwa kasi, amesema kuwa anajivunia kuweza kufanyakazi na msanii huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS