wasanii wa miondoko ya bongofleva AY na mwanamuziki Damian Soul
Star wa muziki AY, akiwa na ukaribu mkubwa na msanii wa muziki Damian Soul kwa sasa kama kocha wa gemu ya star huyo anayepanda chati kwa kasi, amesema kuwa anajivunia kuweza kufanyakazi na msanii huyo.